Sokotra

Ramani ya kisiwa cha Sokotra
Mahali pa Sokotra kati ya Afrika na Bara Arabu

Sokotra (Kar: سقطرى suquṭra) (iliyojulikana zamani kama Mahara) ni funguvisiwa ndogo ya Yemen katika Bahari Hindi kati ya Somalia na Bara Arabu. Sokotra ni hasa jina la kisiwa kikubwa cha funguvisiwa hii.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search