Somalia

Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia (Kiswahili)
Jamhuuriyadda Federaalka Soomaaliya (Kisomali)
Bendera ya Somalia Nembo ya Somalia
(Bendera ya Somalia) (Nembo ya Somalia)
Lugha rasmi Kisomali
Mji Mkuu Mogadishu
Mji Mkubwa Mogadishu
Serikali Shirikisho la Jamhuri
Rais Mohamed Abdullahi Mohamed
Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble
Eneo km² 637,657
Idadi ya wakazi 17,066,000 (2022)
Wakazi kwa km² 27.2
Uchumi nominal Bilioni $7.9
Uchumi kwa kipimo cha umma $716
Pesa Shilingi ya Somalia
Kaulimbiu "Soomaaliyeey toosoo"(Wasomali waamke)
Wimbo wa Taifa Qolobaa Calankeed (Tuabudu bendera)
Somalia katika Afrika
Saa za Eneo UTC +3 (Wakati wa Afrika Mashariki)
Mtandao .so
Kodi ya Simu +252
Ramani ya mikoa ya Somalia.

Somalia (kwa Kisomali: Soomaaliya), ambayo inajulikana rasmi kama Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia, ni nchi kwenye pwani ya Afrika ya Mashariki katika Pembe ya Afrika.

Kijiografia, imezungukwa upande wa kaskazini-mashariki na Ethiopia na Jibuti, na upande wa magharibi ya kati na Kenya; Ghuba ya Aden nayo iko mashariki.

Mji mkuu na mji mkubwa zaidi ni Mogadishu (wakazi 2,120,000).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search