St. Pierre na Miquelon

Saint-Pierre et Miquelon
Bendera ya Saint-Pierre na Miquelon Nembo la Saint-Pierre na Miquelon
Wito: A mare labor (Kazi kutoka bahari)
Lugha rasmi Kifaransa
Mji Mkuu St. Pierre
Rais wa Halmashauri Kuu Stéphane Artano
Mkuu wa Mkoa (Préfet) Albert Dupuy
Eeno
 – Jumla
 – % maji

 242 km²
 0.0%
Idadi ya wakazi
 – Jumla (2011)

 6,080
Pesa Euro (€;EUR)
Jamla la pato la eneo
(Wanazaa kiasi gani cha mali kwa mwaka)
$48.3 Millioni
Kanda la saa UTC-3
Simu ya eneo 508 ¹
Intaneti TLD .pm
1. 0508 kutoka Ufaransa bara.
Miquelon
Ramani
Mahali pa Saint-Pierre-et-Miquelon

Saint-Pierre na Miquelon (kwa Kifaransa: Saint-Pierre-et-Miquelon) ni eneo la ng'ambo la Ufaransa (Collectivité d'outre mer) ambalo ni funguvisiwa karibu na pwani ya Kanada katika bahari ya Atlantiki.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search