Syria

الجمهورية العربية السورية
Al-Jumhūriyyah al-ʿArabiyyah as-Sūriyyah

Jamhuri ya Kiarabu ya Syria
Bendera ya Syria (Shamu) Nembo ya Syria (Shamu)
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: Homat el Diyar
"Walinzi wa nchi"
Lokeshen ya Syria (Shamu)
Mji mkuu Dameski
33°30′ N 36°18′ E
Mji mkubwa nchini Dameski
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Jamhuri
Bashar al-Assad
Muhammad Naji al-Otari
Uhuru
Ilitangazwa (1)
Ilitangazwa (2)
Ilitambuliwa

Septemba 19361
1 Januari 1944
17 Aprili 1946
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
185,180 km² (ya 89)
1.1
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - Msongamano wa watu
 
17,951,639 [1] (ya 54)
118.3/km² (101)
Fedha Lira ya Shamu (SYP)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
EET (UTC+2)
EEST (UTC+3)
Intaneti TLD .sy
Kodi ya simu +963

-

1 Mkataba kati ya Ufaransa na Syria ya 1936 haikutambuliwa awali na Ufaransa.


Ramani ya Syria

Syria au Siria (kwa Kiarabu: سوريا au سورية ) ni nchi ya Mashariki ya Kati au Asia ya Magharibi.

Imepakana na Lebanon, Israel, Yordani, Iraq na Uturuki.

Kuna pwani kwenye bahari ya Mediteranea.

Nchi inatajwa pia kwa jina la "Shamu" katika maandiko ya Kiswahili, ingawa neno hili lamaanisha zaidi eneo la kihistoria ambalo lilikuwa kubwa kuliko Syria ya leo.

  1. "The World Factbook". CIA. Retrieved 2014-07-24.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search