Tarehe

Tarehe (kutoka Kiarabu تاریخ tarih kwa maana ya "historia") ni namna ya kutaja historia, lakini kwa kawaida zaidi nafasi ya siku fulani ndani ya mfumo wa kalenda.

Kwa kawaida tarehe inarejelea kalenda ya Gregori. Lakini ilhali kuna kalenda mbalimbali inawezekana kutaja na tarehe tofauti kwa siku ileile kutegemeana na kalenda inayorejelewa.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search