Thenashara

Thenashara (pia thinashara) ni Kiswahili cha pwani kwa ajili ya namba kumi na mbili (12).

Asili ni Kiarabu "اثنا عشر" (ithnayn `ashara - ithnashara).

Kwa Kiswahili sanifu "kumi na mbili" imechukua nafasi yake lakini bado hutumika.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search