Tunisia

الجمهورية التونسية
al-Jumhūriyya at-Tūnisiyya
Jamhuri ya Tunisia
Bendera ya Tunisia Nembo ya Tunisia
Wimbo wa Taifa Humata l-hima
Lugha rasmi Kiarabu
Mji mkuu Tunis
Aina ya serikali Jamhuri
Rais Kais Saied
Waziri Mkuu Ahmed Hachani
Eneo km² 163.610
Wakazi 11,708,370 (Julai 2020)
Wakazi kwa km² 71.65
Uhuru 20 Machi 1956 (kutoka Ufaransa)
Pesa Dinari ya Tunisia
Wakati UTC +1
Sikukuu ya Taifa 7 Novemba
Tunisia katika Afrika ya Kaskazini
Tunisia katika Afrika ya Kaskazini
Ramani ya Tunisia

Tunisia (kirefu: Jamhuri ya Tunisia - kwa Kiarabu الجمهرية التونسية, al-Jumhūrīya at-Tūnisīya) ni nchi ya Afrika ya Kaskazini inayopakana na Bahari ya Mediteranea, Libya na Algeria.

Nchi imegawanyika katika mikoa 6 tena katika wilaya 24.

Mji mkuu ni Tunis (wakazi 1,066,961) ulioko mahali pa Karthago ya kale.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search