Uislamu nchini Burundi

Uislamu kwa nchi
Msikiti wa Bujumbura.

Uislamu nchini Burundi unasemekana kuwa na karibu asilimia tatu hadi tano ya idadi ya wananchi wa Burundi.[1]

Idadi kubwa ya Waislamu ni wa dhehebu la Sunni, ikiwa na kiasi kidogo tu cha Shia.[2]

Burundi, kikatiba ni nchi isiyoendeshwa kidini, lakini Eid ul-Fitr ni miongoni mwa sikukuu za kitaifa.[3]

  1. U.S. Department of State
  2. name="state2010">U.S. Department of State
  3. "Burundi celebrates Muslim holiday", BBC News, November 3rd, 2005.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search