Uislamu kwa nchi |
Uislamu nchini Mali ndiyo dini inayoongoza. Waislamu kwa sasa wanakadiriwa kuwa asilimia 90 ya jumla ya wakazi wote wa nchini Mali.
Sehemu kubwa ya Waislamu wa Mali ni wale wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya Imamu Maliki, wenye athira ya Usufii.[1]Matawi ya Ahmadiyya na Shia nayo yapo.[2]
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search