Urusi

Российская Федерация
Rossiyskaya Federatsiya

Shirikisho la Urusi
Bendera ya Russia Nembo ya Russia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: none
Wimbo wa taifa: Hymn of the Russian Federation
Lokeshen ya Russia
Mji mkuu Moscow
55°45′ N 37°37′ E
Mji mkubwa nchini Moscow
Lugha rasmi Kirusi
Serikali Jamhuri, Shirikisho
serikali ya kiraisi
Vladimir Putin
Mikhail Mishustin
Uhuru
{{{established_events}}}
{{{established_dates}}}
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
17,075,400 km² (ya 1)
13
Idadi ya watu
 - 1-1-2021 kadirio
 - 2002 sensa
 - Msongamano wa watu
 
146,238,000 (ya 9)
145,164,000
8.3/km² (ya 217)
Fedha Rubl (RUB)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+2 to +12)
(UTC+3 to +13)
Intaneti TLD .ru, (.su reserved)
Kodi ya simu +7

-

1 Rank based on Aprili 2006 IMF data



Urusi (kwa Kirusi: Россия, Rossiya) ni nchi ya Ulaya ya Mashariki na ya Asia.

Kwa eneo ni nchi kubwa kuliko zote duniani, ikiwa na km² 17,075,400.

Urusi imepakana na Norway, Ufini, Estonia, Latvia, Lithuania, Poland, Belarus, Ukraine, Georgia, Azerbaijan, Kazakhstan, China, Mongolia na Korea ya Kaskazini.

Iko karibu vilevile na maeneo ya Marekani (jimbo la Alaska liko ng'ambo ya mlango wa Bering) na Japani (kisiwa cha Hokkaido kiko ng'ambo ya mlango wa La Pérouse.

Kuna wakazi 146,238,000[1].

Mji mkuu ni Moscow.

Hadi mwaka 1991 Urusi ilikuwa kiini cha Umoja wa Kisovyeti na kuitwa Shirikisho la Jamhuri ya Kisovyiet ya Kijamii ya Kirusi.

Urusi ilikuwa udikteta chini ya chama cha kikomunisti. Tangu 1990 imekuwa demokrasia.

Muundo wa utawala ni shirikisho la jamhuri chini ya rais mtendaji.

  1. https://www.breitbart.com/national-security/2021/01/29/russias-population-drops-to-15-year-low/?inf_contact_key=e71d9f39f2e179dc29c4bc51137e481109c74070ac2bf3cfa7869e3cfd4ff832

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search