Uswisi

Schweizerische Eidgenossenschaft
Confédération suisse
Confederazione Svizzera
Confederaziun svizra
Confoederatio Helvetica
Shirikisho la Uswisi
Bendera ya Uswisi Nembo ya Uswisi
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Kilatini: Unus pro omnibus, omnes pro uno
(Kiswahili: "Mmoja kwa ajili ya wote - wote kwa ajili ya mmoja")
Wimbo wa taifa: Zaburi ya Uswisi
Lokeshen ya Uswisi
Mji mkuu Bern (mji mkuu wa shirikisho)
46°57′ N 7°27′ E
Mji mkubwa nchini Zürich
Lugha rasmi Kijerumani, Kifaransa, Kiitalia, Kirumanj[1]
Serikali
Halmashauri ya Shirikisho
kwa jumla ni Mkuu wa Dola
Mwenyekiti wa mawaziri
ana cheo cha "Rais"
akibadilika kila mwaka
Demokrasia, Shirikisho la Jamhuri
Viola Amherd
(Rais wa Shirikisho mwaka 2024)
Karin Keller-Sutter (VP)
Guy Parmelin
Ignazio Cassis
Albert Rösti
Elisabeth Baume-Schneider
Beat Jans
Uhuru
Imetangazwa
Imekubaliwa
Shirikisho la Jamhuri

1 Agosti 1291
1648
1848
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
41,285 km² (ya 132)
4.2
Idadi ya watu
 - Julai 2019 kadirio
 - 2013 sensa
 - Msongamano wa watu
 
8,570,146 (ya 99)
8,139,600
207/km² (ya 48)
Fedha Swiss franc (CHF)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .ch
Kodi ya simu +41

-



Uswisi ni nchi ya Ulaya isiyo na pwani katika bahari yoyote.

Imepakana na Ujerumani, Ufaransa, Italia, Austria na Liechtenstein.

Jina rasmi ni Confoederatio Helvetica (kwa Kilatini: Shirikisho la Kiswisi).

Majimbo yake 26, ambayo huitwa "kantoni", yanajitawala.

  1. Switzerland Constitution, article 70, "Languages": (1) The official languages of the Federation are German, French, and Italian. Romansh is an official language for communicating with persons of Romansh language. (2) The Cantons designate their official languages. In order to preserve harmony between linguistic communities, they respect the traditional territorial distribution of languages, and take into account the indigenous linguistic minorities.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search