Utakatifu (kutoka kitenzi "kutakata") ni ule usafi wa pekee wa Mwenyezi Mungu mwenyewe asiye na mawaa.
Kwa binadamu ni hali ya ukamilifu katika kuepukana na dhambi, na hivyo kuwa karibu na Mungu.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search