Uthai

ราชอาณาจักรไทย
Ratcha Anachak Thai

Ufalme wa Uthai
Bendera ya Uthai Nembo ya Uthai
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}}
Wimbo wa taifa: Phleng Chat
Wimbo la kifalme: Phleng Sansoen Phra Barami
Lokeshen ya Uthai
Mji mkuu Bangkok (Krung Thep)
13°44′ N 100°30′ E
Mji mkubwa nchini Bangkok
Lugha rasmi Kithai
Serikali Ufalme wa kikatiba
Maha Vajiralongkorn
Srettha Thavisin
Formation
Sukhothai Mfalmedom
Ufalme wa Ayutthaya
Ufalme wa Thonburi
Ufalme wa Chakri

1238–1368
1350–1767
1767 hadi 7 Aprili 1782
7 Aprili 1782 hadi leo
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
513,120 km² (ya 51)
0.4
Idadi ya watu
 - Julai 2014 kadirio
 - 2010 sensa
 - Msongamano wa watu
 
67,091,1201 (ya 20)
64,785,909
132.1/km² (ya 882)
Fedha Baht (฿) (THB)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+7)
(UTC+7)
Intaneti TLD .th
Kodi ya simu +66

-


Uthai (pia: Siam, Thailand, Tailandi, Thailandi, Tailendi) ni ufalme katika Asia ya Kusini-Mashariki.

Imepakana na Laos, Kambodia, Malaysia na Myanmar.

Ina pwani kwenye Ghuba ya Uthai ya Bahari ya Kusini ya China upande wa kusini na Bahari Hindi upande wa magharibi.

Nchi ina wakazi zaidi ya milioni 67, hivyo inashika nafasi ya 20 duniani.

Mji mkuu na mji mkubwa ni Bangkok (ukiwa na wakazi milioni 8).


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search