Uzembe

Jacques Callot, Accidia (1620).
Dürer, Melencholia (1514).
Vilema vikuu

Uzembe (kwa Kilatini acedĭa, kutoka neno la Kigiriki ἀκηδία, linaloundwa na ἀ- "utovu wa" -κηδία "juhudi") ni kukosa uwajibikaji na umakinifu katika kutenda, pamoja na kutojali hali ya mazingira[1] .

Katika maadili, unahesabiwa kati ya vilema vikuu (au mizizi ya dhambi) kwa kuwa unasababisha makosa mengine mengi kwa kumfanya mtu asitimize wajibu[2].

Wa kwanza kutambua shida hiyo walikuwa wamonaki.

  1. "accidie" The Concise Oxford Dictionary of the Christian Church. Ed. E. A. Livingstone. Oxford University Press, 2006. Oxford Reference Online. Oxford University Press. 1 November 2011
  2. the hermitary and Meng-hu (2004). "Acedia, Bane of Solitaries". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 3 Januari 2009. Iliwekwa mnamo 22 Des 2008. {{cite web}}: Unknown parameter |deadurl= ignored (|url-status= suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search