Uzima wa milele ni hali ya kuishi bila mwisho.[2]
Biolojia inaonyesha kuwa uhai wa mwili una mipaka, wala sayansi na teknolojia hazijaweza kuivuka.
Hata hivyo, toka zamani binadamu ameonyesha kwa njia nyingi hamu ya kuendelea kuishi kwa namna moja au nyingine.
Utenzi wa Gilgamesh, kimoja kati ya vitabu vya kwanza vya fasihi andishi (karne ya 22 KK hivi), kinasimulia habari za mtu aliyetaka kuishi milele.[3]
{{cite journal}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search