Uzima wa milele

Fountain of Eternal Life huko Cleveland, Ohio, Marekani. Inamaanisha "Binadamu kuinuka juu ya kifo, akimuelekea Mungu na Amani".[1]

Uzima wa milele ni hali ya kuishi bila mwisho.[2]

Biolojia inaonyesha kuwa uhai wa mwili una mipaka, wala sayansi na teknolojia hazijaweza kuivuka.

Hata hivyo, toka zamani binadamu ameonyesha kwa njia nyingi hamu ya kuendelea kuishi kwa namna moja au nyingine.

Utenzi wa Gilgamesh, kimoja kati ya vitabu vya kwanza vya fasihi andishi (karne ya 22 KK hivi), kinasimulia habari za mtu aliyetaka kuishi milele.[3]

  1. Marshall Fredericks (2003). "GCVM History and Mission". Greater Cleveland Veteran's Memorial, Inc. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-02-16. Iliwekwa mnamo 2009-01-14.
  2. "Oxford English Dictionary "Immortality"". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-05-31. Iliwekwa mnamo 2014-09-18.
  3. Joel Garreau (Oktoba 31, 2007). "The Invincible Man". The Washington Post: C01.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search