Vita

Vita: Mfalme Ramses II mnamo 1274 KK, Mfalme Gustav Adolf mnamo 1623, Faru ya Marekani M1 2005

Vita ni mapambano baina ya nchi, mataifa au angalau vikundi vikubwa vya watu yanayoendeshwa kwa nguvu ya silaha.

Mchoro wa Pier Gerlofs Donia na Wijerd Jelckama wakipigana kwa ajili ya uhuru wa watu.

Katika vita kuna pande mbili au zaidi. Husababisha mateso, vifo na kuharibika kwa mali ya watu pamoja na mazingira asilia.

Mwanamgambo wa Kipalestina akiwa ameshika silaha aina ya M16 rifle, mwaka 2009.

Asili ya vita ilikuwa mapambano kwa silaha kati ya makabila au vijiji mbalimbali. Baada ya kutokea kwa madola ilikuwa zaidi serikali au watawala wa madola walioamua juu ya vita.

Mlipuko wa silaha ya nyuklia mwaka 1951.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search