Waasa ni kabila dogo la watu wa Mkoa wa Manyara, Tanzania Kaskazini. Mwaka 1999 walihesabiwa kuwa 300 tu, baada ya wengine kumezwa na kabila la Wamasai.[1]
Zamani walikuwa wakiongea lugha ya Kiaasáx, iliyoitwa pengine "Kidorobo".
Rich TVX News Network Site
Rich TVX News Network Info
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search