Waluo (pia Wajaluo) ni kabila kutoka Sudan Kusini. Wako hasa magharibi mwa Kenya, kaskazini mwa Uganda na mashariki mwa Tanzania katika Mikoa ya Mara na Mwanza. Nchini Kenya ni kabila la nne kwa wingi wa watu (11% za wakazi wote wa nchi). Inawezekana katika nchi hizo kwa jumla wamezidi milioni 7, mbali na makabila ya jamii hiyohiyo.
Lugha yao ni Kiluo. Wenyewe hujiita Jaluo na lugha yao Dhulou.
Waluo ni mkusanyiko wa kabila la Waniloti ambalo lilisafiri kutoka Afrika ya Kaskazini kufuata mto Nile kwenda Kusini. Waluo wengi wameenea kandokando ya Ziwa Viktoria kutokana na utamaduni wao wa uvuvi.[1]. It is estimated that Dholuo has 90% lexical similarity with Lep Alur (Alur language); 83% with Lep Achol (Acholi language); 93% with Dhopadhola (Padhola language), 74% with Anuak, and 69% with Jurchol (Luwo) and Dhi-Pari (Pari).
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search