Wapogolo

Wapogolo ni kabila la watu kutoka kusini-kati ya nchi ya Tanzania, hususan mkoa wa Morogoro.

Lugha yao ni Kipogolo.

Mwaka 1987 idadi ya Wapogolo ilikadiriwa kuwa 185,000


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search