YHWH

Jina YHWH kwa alfabeti ya Kiebrania cha zamani (karne ya 10 KK hadi 135 BK), ya Kiaramu cha zamani (karne ya 10 KK hadi karne ya 4 BK) na ya mraba (karne ya 3 hadi sasa).

YHWH (yaani, “Mimi Ndimi”) ni herufi nne ambazo kwa Kiebrania zinaandikwa יהוה. Ni konsonanti zinazounda jina la Mungu lililo muhimu kuliko yote linalopatikana mara 6,828 hivi katika Biblia ya Kiebrania kuanzia Mwa 2:4.

Jina hilo halipatikani kabisa katika vitabu vya Wimbo Ulio Bora, Kitabu cha Mhubiri na Kitabu cha Esta.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search