Yemen

الجمهورية اليمنية
Al-Jumhūriyyah al-Yamaniyyah

Jamhuri ya Yemen
Bendera ya Yemen Nembo ya Yemen
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: Allah, al-Watan, at-Thawra, al-Wehda
(Mungu, taifa, mapinduzi, umoja)
Wimbo wa taifa: Jamhuri ya Maungano
Lokeshen ya Yemen
Mji mkuu Sana'a
15°21′ N 12°24′ E
Mji mkubwa nchini Sana'a
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Jamhuri
Abd Rabbuh Mansur Hadi
Khaled Bahah
Establishment
Maungano ya Yemen Kaskazini
na Kusini

22 Mei 1990
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
527,970 km² (50)
kidogo sana
Idadi ya watu
 - Julai 2018 kadirio
 - 2004 sensa
 - Msongamano wa watu
 
28,498,683 (48)
19,685,000
44.7/km² (160)
Fedha Yemeni rial $1 = 198.13 Rials (YER)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC+3)
(UTC)
Intaneti TLD .ye
Kodi ya simu +967

-



Yemen (Kiarabu: الجمهورية اليمنية ) ni nchi kusini mwa Bara Arabu.

Imepakana na Omani, Saudia na Bahari Hindi.

Nchi za karibu ng'ambo ya mlango wa bahari wa Bab el Mandeb ni Eritrea, Jibuti na Somalia.

Eneo lake ni pamoja na kisiwa cha Sokotra na visiwa 200 vingine.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search