Yesu kadiri ya historia ni ujuzi juu yake unaopatikana kwa kumchunguza kama mtu mwingine yeyote, mbali na imani ya dini, ili kuelewa vizuri maisha yake yalivyokuwa kihistoria.[1][2][3]
Kwa ujumla zinathibitisha ya kwamba Yesu alikuwepo, na kwamba wakati hao walipoandika alikuwa na wafuasi huko Roma na ya kwamba awali Waroma hawakuelewa tofauti kati ya wafuasi wake na Wayahudi[23][24]
2. Mwandishi Mroma Tacitus: huyo aliandika mnamo mwaka 117 ya kwamba Kaisari Nero alishtaki kikundi cha “Chrestiani” ya kuwa wamechoma motomji wa Roma. Aliongeza: “Mtu ambaye ni asili ya jina hilo ni Chrestus aliyeuawa wakati wa Tiberio kwa amri ya Pontio Pilato” (Annales XV,44).
3. Mwandishi Mroma Svetonius: huyo alimtaja “Chrestos” katika kitabu chake juu ya maisha ya Kaisari Klaudio (25,4) ya kwamba huyu amesababisha fujo kati ya Wayahudi wa Roma hivyo Kaisari aliwafukuza wote mjini.
↑While discussing the "striking" fact that "we don't have any Roman records, of any kind, that attest to the existence of Jesus," Ehrman dismisses claims that this means Jesus never existed, saying, "He certainly existed, as virtually every competent scholar of antiquity, Christian or non-Christian, agrees, based on clear and certain evidence." B. Ehrman, 2011 Forged : writing in the name of GodISBN 978-0-06-207863-6. page 285
↑Michael Grant (a classicist) states that "In recent years, 'no serious scholar has ventured to postulate the non historicity of Jesus' or at any rate very few, and they have not succeeded in disposing of the much stronger, indeed very abundant, evidence to the contrary." in Jesus: An Historian's Review of the Gospels by Michael Grant 2004 ISBN 1898799881 page 200
↑Richard A. Burridge states: "There are those who argue that Jesus is a figment of the Church’s imagination, that there never was a Jesus at all. I have to say that I do not know any respectable critical scholar who says that any more." in Jesus Now and Then by Richard A. Burridge and Graham Gould (Apr 1, 2004) ISBN 0802809774 page 34
↑Crossan, John Dominic (1995). Jesus: A Revolutionary Biography. HarperOne. uk. 145. ISBN0-06-061662-8. That he was crucified is as sure as anything historical can ever be, since both Josephus and Tacitus ... agree with the Christian accounts on at least that basic fact.
↑Jesus as a Figure in History: How Modern Historians View the Man from Galilee by Mark Allan Powell 1998 ISBN 0-664-25703-8 pages 168–173
↑ 11.011.111.2Jesus and the Gospels: An Introduction and Survey by Craig L. Blomberg 2009 ISBN 0-8054-4482-3 pages 431-436
↑Robert E. Van Voorst, Jesus Outside the New Testament: An Introduction to the Ancient Evidence, Wm. B. Eerdmans, 2000. p 39- 53
↑Eddy, Paul; Boyd, Gregory (2007). The Jesus Legend: A Case for the Historical Reliability of the Synoptic Jesus Tradition Baker Academic, ISBN 0-8010-3114-1 page 127
↑F.F. Bruce,Jesus and Christian Origins Outside the New Testament, (Grand Rapids: Eerdmans, 1974) p. 23
↑Van Voorst, Robert E. (2000). Jesus Outside the New Testament: An Introduction to the Ancient EvidenceISBN 0-8028-4368-9. page 83
↑Flavius Josephus; Maier, Paul L. (December 1995). Josephus, the essential works: a condensation of Jewish antiquities and The Jewish warISBN 978-0-8254-3260-6 pages 284-285