Yordani

المملكة الأردنية الهاشمية
Al-Mamlakah al-Urduniya al-Hāšimiya

Ufalme wa Kihashemi wa Yordani
Bendera ya Yordani Nembo ya Yordani
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}}
Wimbo wa taifa: عاش المليك
' ash al-malik   
"Heri kwa mfalme"
Lokeshen ya Yordani
Mji mkuu Amman
31°57′ N 35°56′ E
Mji mkubwa nchini Amman
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Ufalme wa Kikatiba
Abdullah II
Bisher Al-Khasawneh
Uhuru
Tarehe

25 Mei 1946
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
89,342 km² (ya 112)
0.8
Idadi ya watu
 - Julai 2019 kadirio
 - 2015 sensa
 - Msongamano wa watu
 
10,407,793 (ya 86)
9,531,712
114/km² (ya 70)
Fedha Dinar ya Yordani (JOD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
UTC+2 (UTC+2)
UTC+3 (UTC+3)
Intaneti TLD .jo
Kodi ya simu +962



Yordani, rasmi kama Ufalme wa Kihashemi wa Yordani, ni nchi katika Mashariki ya Kati, inayopakana na Syria kaskazini, Iraq kaskazini-mashariki, Saudi Arabia mashariki na kusini, Israel na Palestina magharibi. Ina idadi ya watu takriban milioni 11.5, ikiwa ya 80 duniani. Jiji lake kubwa zaidi na mji mkuu ni Amman. Yordani imegawanyika katika mikoa 12. Inajulikana kwa mji wa kale wa Petra

Jina la nchi limetokana na mto Yordani ambao ni mpaka wake upande wa magharibi na Israel na eneo la Palestina ya leo.

Jina rasmi ni Ufalme wa Kihashemi wa Yordani (kwa Kiarabu: المملكة الأردنية الهاشمية ) kutokana na familia ya kifalme.

Imepakana na Syria, Iraq, Saudi Arabia, Palestina na Israeli.

Ina pwani fupi kwenye Ghuba ya Aqaba ya Bahari ya Shamu.

Mji mkuu ni Amman.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search