Yordani

المملكة الأردنية الهاشمية
Al-Mamlakah al-Urduniya al-Hāšimiya

Ufalme wa Kihashemi wa Yordani
Bendera ya Yordani Nembo ya Yordani
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}}
Wimbo wa taifa: عاش المليك
' ash al-malik   
"Heri kwa mfalme"
Lokeshen ya Yordani
Mji mkuu Amman
31°57′ N 35°56′ E
Mji mkubwa nchini Amman
Lugha rasmi Kiarabu
Serikali Ufalme wa Kikatiba
Abdullah II
Bisher Al-Khasawneh
Uhuru
Tarehe

25 Mei 1946
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
89,342 km² (ya 112)
0.8
Idadi ya watu
 - Julai 2019 kadirio
 - 2015 sensa
 - Msongamano wa watu
 
10,407,793 (ya 86)
9,531,712
114/km² (ya 70)
Fedha Dinar ya Yordani (JOD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
UTC+2 (UTC+2)
UTC+3 (UTC+3)
Intaneti TLD .jo
Kodi ya simu +962



Yordani (pia: Jordan, Jordani; kwa Kiarabu; الأردنّ "al-urdun") ni ufalme wa Kiarabu katika Mashariki ya Kati.

Jina la nchi limetokana na mto Yordani ambao ni mpaka wake upande wa magharibi na Israel na eneo la Palestina ya leo.

Jina rasmi ni Ufalme wa Kihashemi wa Yordani (kwa Kiarabu: المملكة الأردنية الهاشمية ) kutokana na familia ya kifalme.

Imepakana na Syria, Iraq, Saudi Arabia, Palestina na Israeli.

Ina pwani fupi kwenye Ghuba ya Aqaba ya Bahari ya Shamu.

Mji mkuu ni Amman.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search