Yosefu (kwa Kiebrania יוֹסֵף, "Yosef"; kwa Kigiriki Ἰωσήφ), kadiri ya Injili, alikuwa mume wa Bikira Maria na baba mlishi wa Yesu Kristo ambao pamoja naye waliunda Familia takatifu.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search