Zaka (kutoka neno la Kiarabu زكاة, zakat, lenye maana ya "kinachotakasa"; kwa Kiingereza: Tithe) ni toleo la sehemu ya mapato ambalo muumini wa dini fulani anapaswa kutoa kwa Mungu, kwa viongozi wa dini husika au kwa maskini.
Rich TVX News Network Site
Rich TVX News Network Info
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search