Zama za Mawe

Mawe yaliyochongwa kuwa na kona kali kwa matumizi kama kisu.
Mtu wa zama za mawe akikata mti.

Zama za Mawe (pia: Mhula wa mawe[1]) zilikuwa kipindi kirefu cha historia ya awali ya binadamu. Jina hilo linatokana na kwamba wakati huo watu walitumia vifaa vya mawe kwa shughuli zao za kila siku.

  1. "Mhula wa mawe" ni pendekezo la Kamusi ya Historia (TUKI 2004); hata hivyo Zama za Mawe ni neno la kawaida zaidi likiwa istilahi inayofundishwa kwenye shule za msingi za Tanzania.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search