Zama za Mawe (pia: Mhula wa mawe[1]) zilikuwa kipindi kirefu cha historia ya awali ya binadamu. Jina hilo linatokana na kwamba wakati huo watu walitumia vifaa vya mawe kwa shughuli zao za kila siku.
© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search