Slovakia

Slovenská republika
Jamhuri ya Slovakia
Bendera ya Slovakia Nembo ya Slovakia
Bendera Nembo
Kaulimbiu ya taifa: --
Wimbo wa taifa: Nad Tatrou sa blýska
("Radi juu ya milima ya Tatra")
Lokeshen ya Slovakia
Mji mkuu Bratislava
48°09′ N 17°07′ E
Mji mkubwa nchini Bratislava
Lugha rasmi Kislovakia
Serikali Democrasia
Peter Pellegrini
Robert Fico
Uhuru
kutoka Chekoslovakia
tarehe
1 Januari 1993
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
49,037 km² (ya 130)
--
Idadi ya watu
 - 2023 kadirio
 - 2022 sensa
 - Msongamano wa watu
 
5,424,687 (ya 119)
5,460,185
111/km² (ya 104)
Fedha EURO ()
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
CET (UTC+1)
CEST (UTC+2)
Intaneti TLD .sk2
Kodi ya simu +4213

-


Slovakia (kwa Kislovakia: Slovensko) ni nchi ya Ulaya ya Kati yenye wakazi milioni tano na nusu.

Imepakana na Ucheki, Austria, Poland, Ukraine na Hungaria.

Slovakia imekuwa nchi mwanachama wa Umoja wa Ulaya tangu tarehe 1 Mei 2004.

Mji mkubwa na mji mkuu ni Bratislava.

Miji muhimu baada ya Bratislava ni Košice, Banská Bystrica, Žilina, Trenčín, Nitra, Prešov na Trnava.

Wakazi walio wengi wanasema Kislovakia, ambacho ni kati ya lugha za Kislavoni, lakini kieneo kuna pia wasemaji wa Kihungaria, Kibelarus na Kiukraine.

Upande wa dini, 65.8% ni Wakatoliki, 8.9% Waprotestanti. 13.4% wanajitambulisha kama Wakanamungu.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search