Eldoret

Eldoret
Eldoret is located in Kenya
Eldoret
Eldoret

Mahali pa mji wa Eldoret katika Kenya

Majiranukta: 0°31′0″N 35°17′0″E / 0.51667°N 35.28333°E / 0.51667; 35.28333
Nchi Kenya
Kaunti Uasin Gishu
Idadi ya wakazi (2009)
 - Wakazi kwa ujumla 289,380
Eldoret, Kenya

Eldoret ni mji ulio magharibi mwa Kenya. Upo kwenye barabara kuu kati ya Nairobi - Kampala takriban km 300 kutoka jiji la Nairobi katika nyanda za juu magharibi mwa Bonde la Ufa kwenye kimo cha mita 2100 - 2700 juu ya UB.

Ukiwa na wakazi 289,380 (wakati wa sensa ya mwaka 2009[1]) ni mji wa tano kwa ukubwa nchini Kenya baada ya Nairobi, Mombasa, Kisumu na Nakuru na ni makao makuu ya kaunti ya Uasin Gishu.

  1. Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.

© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search